Posts

Showing posts from June, 2017

Nguzo [5] za Uislam.

Aslaam 'Akaykum warahmatullah wabarakatuh ndugu zangu katika Iymaan naam baada ya mda mrefu pia leo twakutana tena ili kujuzana ama kukumbushana hili na lile kuhusu Dini yetu adhwim ya Uislam Dini ya haki.Kama vile tunavojua kuwa sie waja wa Allah hatujakamilika na ni wenye kusahau hivyo ni jukum la kila mmoja wetu kumkumbusha mwenzake. Na leo hii tutaangalia Nguzo [5] kuu z Uislam ambazo kwamba endapo tukishikamana nazo ki ukweli ukweli wa Moyo basi tutakuwa waislam kamili na Allah ataturidhia na Radhi zake tutaanza kuziona hapa hapa Duniani kabla ya kesho Akhera,Hivyo basi tuanze hapa. Kalmat Tawheed/Shahada           Ina maana kwamba ni kushuhudia kwa Allah peke yake na si viumbe vingine na kuamini kuwa Muhamamad ni Mtume wake .[Ashahad Llah ilaha ila ALLAH wa ashahad anna Muhammad Rassulullah] Ndugu zangu Shahada ndiyo nguzo ya kwanza ya Uislam ndiyo mana inatajwa kwenye kila kitu kinachohusiana na Uislam kama vile kwenye Swala,Dua'a hata mtu an...

Historia ya Mtume Muhammad(S.A.W) kwa Ufupi :7

Aslaam 'Alaykum wa Rahmatullah wa Barakatuh ndugu zangu katika Iymaan naam baada ya Muda mrefu wa kukaa kimya hakika leo tunaendelea kujuzana na tukiwa mwisho kabisa wa Historia ya Mtume Muhammad(S.A.W),na kabla ya yote niwaombe radhi ndugu zangu maana nakaa kimya kwa mda mwingi lakini In Sha ALLAH Allah ataweka wepesi .Na leo tutaangalia kuanzai  Hija ya Mtume Muhammad(S.A.W) hadi kifo chake ambapo ndiyo mwisho wa Historia yetu, BISMILLAH RAHMAN RAHEEM. HIJA YA KUAGA BAADA YA KURUDI MAKKA. Mtume Muhammad kafanya Hijja yake katika mwaka wa 10 baada ya Hijra(10 B.H) na ijapokuwa toka aanze ujumbe wake haikufika Miaka 24,lakini kulikuwepo Waislamu 114,000 waliofutana naye kwenda Makka.Kwa hakika mwengine aliyepata ushindi  mkubwa kama huuu, kwani tukianza Mika 11 nyuma  tunamuona Mtume  akitolewa Makka na kusakwa kutaka kuuliwa na leo ni kiongozi bor a wa Arab na Dunia ya Waislam kwa ujumla. Khutba ya mwisho aliyoitoa Mtume Muhammad(S.A.W) katika mnasaba huu w...